Tenzi za Rohoni: Bwana u sehemu yangu
Bwana U sehemu yangu
Rafiki yangu, wewe
Katika safari yangu
Tatembea na wewe .
Pamoja na Wewe
Pamoja na Wewe
Katika safari yangu
Tatembea na Wewe.
Mali hapa sikutaka
Ili niheshimiwe
Na yanikute mashaka
Sawasawa na Wewe
Pamoja na Wewe
Pamoja na Wewe
Heri nikute mashaka
Sawasawa na Wewe.
Niongoze safarini
Mbele unichukue
Mlangoni mwa mbinguni
Niingie na Wewe
Pamoja na Wewe (2x)
Mlangoni mwa mbinguni
Niingie na Wewe .
Rafiki yangu, wewe
Katika safari yangu
Tatembea na wewe .
Pamoja na Wewe
Pamoja na Wewe
Katika safari yangu
Tatembea na Wewe.
Mali hapa sikutaka
Ili niheshimiwe
Na yanikute mashaka
Sawasawa na Wewe
Pamoja na Wewe
Pamoja na Wewe
Heri nikute mashaka
Sawasawa na Wewe.
Niongoze safarini
Mbele unichukue
Mlangoni mwa mbinguni
Niingie na Wewe
Pamoja na Wewe (2x)
Mlangoni mwa mbinguni
Niingie na Wewe .
Maoni
Chapisha Maoni